Kiwanja kinauzwa Dodoma mjini

wakukae

Senior Member
Joined
Aug 30, 2012
Posts
113
Reaction score
58
kiwanja kinauzwa. kipo maeneo ya chidachi, Dodoma mjini. kina ukubwa wa mita 75 kwa 45. kimepimwa na kugaiwa na mamlaka ya ardhi ya mjini Dodoma (CDA). kina hati. kipo kwenye kona. kina ramani iliyopitishwa na (CDA). Na kimeshajengwa msingi wa mawe.. Bei ni sh. Mil 7. kwa mawasiliano zaidi piga namba 0766255566
 
Sound good. Utapata mteja haraka sana. Waheshimiwa watakupigia mda siyo mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…