Kiwanja Kinauzwa Eneo Goba Mtaa Matosa (Tegeta A) Plot 55 Ukubwa 2,476 Sq M

Kiwanja Kinauzwa Eneo Goba Mtaa Matosa (Tegeta A) Plot 55 Ukubwa 2,476 Sq M

Mkungo

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
222
Reaction score
134
Ninauza kiwanja Goba Mtaa wa Matosa (Tegeta A) kimepimwa kiko kwenye Plot 55 kina ukubwa wa mita za eneo 2,476 (yaani 2,476 Sq M). Umeme upo karibu tu na nguzo moja tu.
Umbali kutoka Tangi Mbovu ni 11km na 6km kutoka Mbezi Luisi. Kwenye junction ya Wazo/Goba na Tangi mbovu/Wazo ni 2km.

Barabara ya Wazo hadi Mbezi Luisi ikijumuisha na kupitia Goba hadi Tangi mbovu ziko kwenye bajeti ya serikali ya mwaka huu kujengwa kwa kiwango cha lami.

Anayependa maana yake sikukuu ya mwaka mpya ipo mlangoni anipige namba +255 753 521 331 na +255 658 687 720 bei ni chee wahi. Nisingependa Dalali

Asanteni
 
20131230_140440[1].jpg20131230_140440[1].jpg
 
Kitope, kimeshapimwa hati bado mkuu.
 
Bei ndogo sana hiyo, acha njaa ndugu. Subiria miaka miwili pindi lami ikipita uuze kwa milioni 60.
 
Bei ndogo sana hiyo, acha njaa ndugu. Subiria miaka miwili pindi lami ikipita uuze kwa milioni 60.
Eneo hilo linaongoza kwa migogoro ya ardhi, so wanunuzi kuweni waangalifu. Nilitapeliwa kiwanja mitaa hiyo kumbe kulikuwa na mgogoro wa kufa mtu. Ni vyema ukasubiri hati itolewe kabla ya kununua. Kununua kiwanja kisicho na hati kwa sasa ni risk kubwa. Ni angalizo tu natoa kuwa makini kuverify by different means. U rahusi wa bei usije ukawaingiza mkenge.
 
Usipotoshe watu bure migogoro ya Ardhi Tanzania ni tatizo sugu lakini ni katika maeneo machache na kwa watu wachache siyo wote! Hii sweeping statements watanzania mtaacha lini? Yaani mtoto wako kufeli mitihani basi sekondari zote hazifai? It was a bad luck to you na pole sana. Eneo hili naona hulijui vilivyo ungekuwa specific ningejua.
 
Back
Top Bottom