Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaga-Kinyerezi

Family_hammer

Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
29
Reaction score
11
Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 2921 (zaidi ya nusu eka) kinauzwa.

Kiwanja kipo Kibaga- Kinyerez karibu na Songas-Kinyerezi Plant. Kiwanja kinafaa kwa shughuli za biashara, Makazi na ufugaji. Huduma zote muhimu kama maji na umeme zipo karibu na eneo la kiwanja.

Kiwanja kina unfinished Boys quarter, yenye vyumba viwili, sebule, choo, bafu na jiko.

Kiwanja kina hati na bei yake ni shilingi milioni sabini na tano tu (75,000,000/=) kwa maelezo zaidi piga simu namba 0713 629 999.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…