Ni chache mkuuKM5 NI NYINGI SANA AISEE
umbali huo inatakiwa at least uwe na heka kumi hivi ili ufuge piaNi chache mkuu
Kivipi?KM5 NI NYINGI SANA AISEE
sijui unataka nini. kiwanja tumeambia ni km 5 toka barabara ya lamiKivipi?
Isiwe kesi. Wacha wanaopaona ni pafupi wataendasijui unataka nini. kiwanja tumeambia ni km 5 toka barabara ya lami
mi naona ni mbali , unaniulizaje kivipi
hujui umbali au
SAWA MkuuIsiwe kesi. Wacha wanaopaona ni pafupi wataenda
Ni kweli ..ila hayo maeneo sahv watu wanachukua plots kwa speed sana kupata heka kumi inabid uwe na mpunga wa kutoshaumbali huo inatakiwa at least uwe na heka kumi hivi ili ufuge pia