kiwanja kinauzwa maeneo ya mikwambe jijini dar.kipo mita chache kutoka bara bara ya lami.kipo sehemu nzuri kwa makazi,kinafikika kwa gari yeyote,and huduma zote zipo karibuni,bei yake ni milion nne na nusu ukubwa futi 40 kwa upana na urefu, mawasiliano:0714137036 njoo ukione tufanye biashara