Plot4Sale K๐’Š๐’˜๐’‚๐’๐’‹๐’‚ ๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’–๐’›๐’˜๐’‚, K๐’Š๐’Ž๐’‚๐’“๐’‚ ๐‘ซ๐’‚๐’“ ๐’†๐’” S๐’‚๐’๐’‚๐’‚๐’Ž.

Plot4Sale K๐’Š๐’˜๐’‚๐’๐’‹๐’‚ ๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’–๐’›๐’˜๐’‚, K๐’Š๐’Ž๐’‚๐’“๐’‚ ๐‘ซ๐’‚๐’“ ๐’†๐’” S๐’‚๐’๐’‚๐’‚๐’Ž.

Ramon Abbas

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,964
Reaction score
3,913
๐’Œ๐’Š๐’˜๐’‚๐’๐’‹๐’‚ kinauzwa

๐“น๐“ป๐“ฒ๐“ฌ๐“ฎ: million 5.
๐‘ณ๐‘ถ๐‘ช๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ถ๐‘ต: kimara mwisho kwa komba.

๐’”๐’Š๐’›๐’†: mita 20 kwa 12.

Mauziano ya Serikali ya Mtaa

๐’Ž๐’‚๐’˜๐’‚๐’”๐’Š๐’๐’Š๐’‚๐’๐’: 0683011003

Screenshot_20210712-180711.png

ษขแด€ส€ษช ษชษดแด€า“ษชแด‹แด€ แดแด˜แด€แด‹แด€ แด‹ษชแดกแด€ษดแดŠแด€ษดษช
 
Kimara hii ambayo wametakiwa kubomoa nyumba zao ama ipi
โš ๏ธŽ๐ฐ๐š๐ง๐š๐›๐จ๐ฆ๐จ๐š ๐ฏ๐ข๐›๐š๐ง๐๐š ๐ฏ๐ฒ๐š ๐›๐š๐ซ๐š๐›๐š๐ซ๐š๐ง๐ข.
๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’‚๐’Ž๐’‚๐’๐’Š ๐’Œ๐’‚๐’Œ๐’‚ ๐’Ž๐’Œ๐’–๐’ƒ๐’˜๐’‚
 
๐’Œ๐’Š๐’˜๐’‚๐’๐’‹๐’‚ kinauzwa

๐“น๐“ป๐“ฒ๐“ฌ๐“ฎ: million 5.
๐‘ณ๐‘ถ๐‘ช๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘ถ๐‘ต: kimara mwisho kwa komba.

๐’”๐’Š๐’›๐’†: mita 20 kwa 12.

Mauziano ya serikali ya mtaa

๐’Ž๐’‚๐’˜๐’‚๐’”๐’Š๐’๐’Š๐’‚๐’๐’: 0683011003

View attachment 1850694
ษขแด€ส€ษช ษชษดแด€า“ษชแด‹แด€ แดแด˜แด€แด‹แด€ แด‹ษชแดกแด€ษดแดŠแด€ษดษช
Hapa wananchi si wametangaziwa kubomoa ili kupisha ujenzi wa barabara?
 
Hapa wananchi si wametangaziwa kubomoa ili kupisha ujenzi wa barabara?
Hauna uhakika ndio maana unauliza.

fika kiwanjani kagua kisha twende ofisi ya serikali ya mtaa uulize hili suala.

mimi nikikwambia ๐‡๐€๐๐€๐๐€ สฐแตƒแต˜แต—แต’โฟโฑแตƒแตโฑโฟโฑ
 
Hatujaelewa vizuri, acha kuwa mbishi mkuu, screenshot hata google map tuelewa vizuri, sio kila mtu anapajua kwa komba
๐‘ด๐’Œ๐’–๐’– ๐’”๐’Š๐’ ๐’–๐’ƒ๐’Š๐’”๐’‰๐’Š ๐’˜๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’Š๐’๐’Š, ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’–๐’๐’‚๐’‰๐’Š๐’•๐’‚๐’‹๐’Š ๐’๐’‹๐’๐’ ๐’–๐’‘๐’†๐’๐’†๐’Œ๐’˜๐’† ๐’–๐’Œ๐’‚๐’ˆ๐’–๐’† ๐’†๐’๐’†๐’.
 
jamani nimefika mpaka kwenye kiwanja, nimeonana na mwenyekiti wa serikali za mtaa, mwenyekiti amesema iko kiwanja kina mgogoro mkubwa sana na amesema kuwa kuna watu kama watatu wamedondoka kwasababu ya iko kiwanja, sijaelewa alivyo sema wamedondoka sijui alikuwa anamaanisha nini. mimi nikaondokana tu na sentensi ya kuwa kina MGOGORO
 
jamani nimefika mpaka kwenye kiwanja, nimeonana na mwenyekiti wa serikali za mtaa, mwenyekiti amesema iko kiwanja kina mgogoro mkubwa sana na amesema kuwa kuna watu kama watatu wamedondoka kwasababu ya iko kiwanja, sijaelewa alivyo sema wamedondoka sijui alikuwa anamaanisha nini. mimi nikaondokana tu na sentensi ya kuwa kina MGOGORO
Kudondoka maana yake kufa, kuna eneo nilifika kesi ilikuwa mahakamani na baada ya mahakama kuamua yule jamaa wa upande ulioshindwa akaamua kutumia nguvu za giza.

Yani kila aliekuwa akinunua pale hawezi kujenga nae anauza, kiwanjwa kinaendelea kuuzwa hadi leo.
 
Kwani mleta mada yeye mwenyewe anasemaje ?

Kama mnataka viwanja si mje Huku kiluvya? Yanini kubanana hapo kimara sijui mbezi wakati usafiri upo 24/7

Njooni tupanue mji Bei kuanzia ml 5 20*20
Njia Safi
Umeme
Barabara
Bar
Chips kuku nk
 
Kwani mleta mada yeye mwenyewe anasemaje ?

Kama mnataka viwanja si mje Huku kiluvya? Yanini kubanana hapo kimara sijui mbezi wakati usafiri upo 24/7

Njooni tupanue mji Bei kuanzia ml 5 20*20
Njia Safi
Umeme
Barabara
Bar
Chips kuku nk

Chips kuku hahaaaaaaaaaaaa umenifurahisha mkuu
 
Back
Top Bottom