Plot4Sale Kiwanja kinauzwa, King’azi njia ya Kinyerezi kwenda Mbezi 25 kwa 20

goldcall

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
416
Reaction score
567
Kiwanja kiwanja Bei nzuri Bei ya offer, kiwanja ni chakwangu mwenyewe, hakuna udalali, umeme na maji vipo eneo la kiwanja.

Maendeleo na nyumba zimejegwa sana, kiwanja ni hatua 25 kwa 20 Bei ni 7.5 Mil, usafiri wa bajaji kutoka eneo husika kwenda mbezi au kinyerezi pia airport piga simu 0693300971





 
Kwanini usitumie mita kupima badala ya hatua za miguu?
 
Mkuu Kama hujauza naweza kuja kukuona jumatano nitakapo rudi Dar Niko mkoani narudi jumanne then jtano tuonane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…