Kiwanja kinauzwa Milioni 20 kwa ukubwa wa upana miguu 35 na urefu 40.,kipo kata ya meter chache kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa...,
Sio cha kuchimba na kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya familia au hata hotel.
Huduma za maji na umeme zipo karibu ya kiwanja.
Piga 0787804003 au 0715812003View attachment 2713319View attachment 2713321View attachment 2713320
Umesema kiwanja kiko jirani na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Ndiyo nikauliza hizo ofisi ziko wapi hapo? Nadhani ungetaja umbali kutoka kilipo hicho kiwanja.Unaulizia ofisi ya mkuu wa mkoa au kiwanja?
Umesema kiwanja kiko jirani na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro. Ndiyo nikauliza hizo ofisi ziko wapi hapo? Nadhani ungetaja umbali kutoka kilipo hicho kiwanja.
Shida hujitambui na unakalili maisha,kwa ucheap huo una maeneo mangapi unayamiliki morogoro mjini?
Mkuu umekipima hiki kiwanja chako kwa vipimo vya meta? Kama jibu ni ndio, naomba hivyo vipimo ni ukubwa kiasi gani nataka nijue kiwanja kina square meters ngapi siwezi kukadiria kwa hatua za miguu tafadhaliKiwanja kinauzwa Milioni 20 kwa ukubwa wa upana miguu 35 na urefu 40.,kipo kata ya meter chache kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa...,
Sio cha kuchimba na kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya familia au hata hotel.
Huduma za maji na umeme zipo karibu ya kiwanja.
Piga 0787804003 au 0715812003View attachment 2713319View attachment 2713321View attachment 2713320
Simu yangu ina changamoto kidgo ndo mana nmetuma hvyo...,kwa app niliyotumia imeonyesha vipimo hvyoMkuu umekipima hiki kiwanja chako kwa vipimo vya meta? Kama jibu ni ndio, naomba hivyo vipimo ni ukubwa kiasi gani nataka nijue kiwanja kina square meters ngapi siwezi kukadiria kwa hatua za miguu tafadhali
Samahani mkuu nashindwa kung'amua chochote kutokana na picha hiyo.Simu yangu ina changamoto kidgo ndo mana nmetuma hvyo...,kwa app niliyotumia imeonyesha vipimo hvyoView attachment 2713361
2Km ni umbali mkubwa sana kiasi kwamba hauwezi kutumia neno jirani.Umbali hauzidi km 2 kutoka kwenye kiwanja.
upana35 x urefu40=1400sqmSamahani mkuu nashindwa kung'amua chochote kutokana na picha hiyo.
Naomba uniambie, HICHO KIWANJA KINA MAPANA NA MAREFU YA MITA NGAPI/KIWANJA HICHO KINA UKUBWA WA SQUARE METERS NGAPI?
Ufupi wa watani zangu waluguru hatua moja haiwezi kufikia mita moja. Kwa Ivo hapo hakuna mita mraba 1,400.upana35 x urefu40=1400sqm
ππ kwahiyo inawezekana sio taarifa sahihi.Ufupi wa watani zangu waluguru hatua moja haiwezi kufikia mita moja. Kwa Ivo hapo hakuna mita mraba 1,400.
Au sio Bwagada ??
ππππ
Kabisa.ππ kwahiyo inawezekana sio taarifa sahihi.