X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
yap...!Ongezea documents zote za umiliki wa kiwanja hiki utazikuta kwa Muuzaji sio dalali,
Shukrani sana kiongoziKila la heri, bei ni rafiki.
oh... harafu nimechanganya madesa ni 30*45Ukiwa na hela,
Nunua kiwanja hiki, kisha kaa miaka 4, kikate kwenye viwanja vya 15*15, utapata viwanja 8,
Uza kila kimoja 5-7M
Unapata zako 50M nyepesiii
kiko Kitunda maeneo gani? na bado Kipo??bei imeshuka mwenyewe anataka m18 tu.
kiko Kitunda maeneo gani? na bado Kipo??
Hata hivyo bado umerudia kuchanganya..30*45 ya kipimo gani cha urefu?oh... harafu nimechanganya madesa ni 30*45
hatua... mkuuHata hivyo bado umerudia kuchanganya..30*45 ya kipimo gani cha urefu?
15 kwa 15 ujenge banda la kuku?Ukiwa na hela, nunua kiwanja hiki, kisha kaa miaka 4, kikate kwenye viwanja vya 15*15, utapata viwanja 8,
Uza kila kimoja 5-7M.
Unapata zako 50M nyepesiii
Hatua ni wizi nilidhani mitahatua... mkuu
We hivyo viwanja si ndo hko wanakovunjiwaKwa Mpemba... ni kilomita chache baada ya ile Reli pale... BADO KIPO MKUU
hapana...!We hivyo viwanja si ndo hko wanakovunjiwa