Kiwanja kinauzwa maeneo ya Goloka-Mbagala

Kiwanja kinauzwa maeneo ya Goloka-Mbagala

clearmind

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
813
Reaction score
1,913
Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
 
Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
Mkuu, ft14/13 inatosha hata kujenga fremu ya duka?
 
Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
Duh! Yaani mita 4×3 yaani 12 square meters unauza 2M halafu Mbagala, au kipo pembeni ya kilwa road?
 
Duh! Yaani mita 4×3 yaani 12 square meters unauza 2M halafu Mbagala, au kipo pembeni ya kilwa road?
Ni ft 14/13 mkuu. ikiwa unahitaji, wasiliana na mwenye nacho namba nimeweka hapo. Hayo ndo yalikuwa maelezo yake.
 
Ni ft 14/13 mkuu. ikiwa unahitaji, wasiliana na mwenye nacho namba nimeweka hapo. Hayo ndo yalikuwa maelezo yake.
Yuko sahihi mkuu
(14ft × 13ft)= (4.2m × 3.9m)=16.39sq

Hiko kiwanja mbona kidogo sana ....

Hebu muulize vizur huyo mmiliki hz details alizokupa km ziko sahihi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom