Plot4Sale Kiwanja kinauzwa maeneo ya Mwanagati (Dar es salaam )

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa maeneo ya Mwanagati (Dar es salaam )

Mgavi Fulani

Senior Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
110
Reaction score
38
HABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU.

KIWANJA KINAUZWA

Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium.

Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ).

Eneo: 35,394 sqm.

Bei: 800,000 USD ( Maongezi yapo ondoa shaka ).

ENEO:

Limepimwa na lina Hati halali ya umiliki. ( Lilinunuliwa kwa matumizi ya shule ).

Kuna nyumba moja ya vyumba viwili na sebule.

Lina Mazao: ( minazi na miembe).

Pia lina Mnara wa simu ( Airtel ).

Maji na umeme vinapatikana

KWA MAWASILIANO ZAIDI:

+255 716 808 888

+255 655 823 141

KARIBUBI NYOTE.

Nimeweka baadhi ya picha hapo chini kuonyesha hali halisi ya eneo hilo.

6c41c32a21bddecc438595abf7feb0f7.jpg

59d73165962aa394145c95079f8ce7ca.jpg
0bddb5ac8fdf1719a7c6d6cfdb8f4492.jpg
f7a5730ec4b66256bc547289e039b503.jpg
65d1f15ef9912a0c5d8eeee385cbb38b.jpg
1b343dbbf6985699ac860a8a90259534.jpg
45b3f4d2d43e3b3aa82cb1c4f57650dc.jpg
 
bdf9f7d60ff2904b1ce587e53a47e257.jpg


Kitunda Magole(Kiwanja)
Kitunda Magole, near Mwanagati. Umeme na Maji hapo hapo. 20 X 20 Miguu.

Pamepimwa Kienyeji kwa Mpangilio Mzur kwa Makazi bora.

8.6Kms from Banana.
18.9Kms from Clock Tower.

Bei: 6.5M

Contact: 0715-240140
 
=1760000000 Kwa mtu mweye malengo ya uwekezaji mkubwa ananunua, ila nina wasi wasi huenda dalali keshaweka cha juu kikubwa tu.
Hiyo namba ni ya kwangu. Hakuna mkono wa dalali hapo. Ndio maana nikaandika maelewano yapo. Ni kikubwa kwa uwekezaji. Hiko kiwanja ni cha mzee na mimi ndio nimeanza leo rasmi kutafuta mteja. Atakayekuwa tayari nikikubali mimi basi ndio biashara imekwenda. Bado sijawaza kutafuta madalali. 10% zinauma.
 
bdf9f7d60ff2904b1ce587e53a47e257.jpg


Kitunda Magole(Kiwanja)
Kitunda Magole, near Mwanagati. Umeme na Maji hapo hapo. 20 X 20 Miguu.

Pamepimwa Kienyeji kwa Mpangilio Mzur kwa Makazi bora.

8.6Kms from Banana.
18.9Kms from Clock Tower.

Bei: 6.5M

Contact: 0715-240140
mkuu bado haujauza hiki kiwanja tokea utoe tangazo kipind kile .. basi punguza bei yawezekana ndyo kikwazo kwako
 
HABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU.

KIWANJA KINAUZWA

Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium.

Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ).

Eneo: 35,394 sqm.

Bei: 800,000 USD ( Maongezi yapo ondoa shaka ).

ENEO:

Limepimwa na lina Hati halali ya umiliki. ( Lilinunuliwa kwa matumizi ya shule ).

Kuna nyumba moja ya vyumba viwili na sebule.

Lina Mazao: ( minazi na miembe).

Pia lina Mnara wa simu ( Airtel ).

Maji na umeme vinapatikana

KWA MAWASILIANO ZAIDI:

+255 716 808 888

+255 655 823 141

KARIBUBI NYOTE.

Nimeweka baadhi ya picha hapo chini kuonyesha hali halisi ya eneo hilo.

6c41c32a21bddecc438595abf7feb0f7.jpg

59d73165962aa394145c95079f8ce7ca.jpg
0bddb5ac8fdf1719a7c6d6cfdb8f4492.jpg
f7a5730ec4b66256bc547289e039b503.jpg
65d1f15ef9912a0c5d8eeee385cbb38b.jpg
1b343dbbf6985699ac860a8a90259534.jpg
45b3f4d2d43e3b3aa82cb1c4f57650dc.jpg
Usd 800,000 = 1,760,000,000 TZS ukiigawa kwa hizo sqm 35,395 utapata about 50,000 TZS per Sqm.

Be Serious bro, kama kweli unataka kufanya hiyo biashara!! Mwanagati 1 SQM should be about 12,000 so hiyo bei yako angalau ili ifikirike kuuzika, unapaswa kuigawa kwa 4 ambayo ni dola laki 2 that is the maximum price you can sell that land.
 
Usd 800,000 = 1,760,000,000 TZS ukiigawa kwa hizo sqm 35,395 utapata about 50,000 TZS per Sqm.

Be Serious bro, kama kweli unataka kufanya hiyo biashara!! Mwanagati 1 SQM should be about 12,000 so hiyo bei yako angalau ili ifikirike kuuzika, unapaswa kuigawa kwa 4 ambayo ni dola laki 2 that is the maximum price you can sell that land.
Asante kwa ushauri.

But i mean business kwa hiyo niloweka. Na maongezi yapo, atakayekuja tutaongea. Ila kunipangia bei hahahaha asante kaka. Njoo uone plot ilipo kwanza.
 
Kama huna uwezo we pita tu. Hajashikiwa mtu bunduki wakuu... Ukianza criticize mtu kwa kitu chake, basi chukua chako uza tu hiyo bei rahisi. Hiki hakina presha kitauzwa tu hata miaka ijayo! It is not on urgent need. Ni uwekezaji tu tunataka badili kwa sasa.

Ahsante kwa wote wapunguza bei vitu vya watu.
 
Back
Top Bottom