mwakyambikig
Member
- Mar 21, 2011
- 89
- 34
Kiwanja kipo maramba mawili eneo la king’azi, ukubwa 23 kwa 20,
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari,
2. Hakipo mbali na Barabara ya tanroad inayotokea maramba kwenda mloganzila unaiyona ukiwa eneo la tukio.
3. Umeme na maji vimepita mpakani mwa kiwanja husika,haina haja ya kuongeza nguzo nyingine,
4. Usafiri wa bajaji na magari ya kukatiza rout yapo mengi kutokea mbezi stand ya Magufuli
5. Unaweza kutembea kwa mguu, kutoka Barabara ya lami, kinyerezi-mbezi route
6. Utulivu na nyumba zimejengwa kisasa zaidi
7. Mimi nimejenga hapo hapo kwa mbele, vipande vilikuwa viwili, nimeamua nibaki na hiki kimoja nilichojenga, hiki kingine nakiuza kwakuwa nina shida na pesa.
8. Kimepimwa kwa hatua za awali, mauziano yatafanyika ofisi za Serikali za mitaa.
9. Bei ni million 8,200,000/=
Piga simu au whatsapp 0693300971
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari,
2. Hakipo mbali na Barabara ya tanroad inayotokea maramba kwenda mloganzila unaiyona ukiwa eneo la tukio.
3. Umeme na maji vimepita mpakani mwa kiwanja husika,haina haja ya kuongeza nguzo nyingine,
4. Usafiri wa bajaji na magari ya kukatiza rout yapo mengi kutokea mbezi stand ya Magufuli
5. Unaweza kutembea kwa mguu, kutoka Barabara ya lami, kinyerezi-mbezi route
6. Utulivu na nyumba zimejengwa kisasa zaidi
7. Mimi nimejenga hapo hapo kwa mbele, vipande vilikuwa viwili, nimeamua nibaki na hiki kimoja nilichojenga, hiki kingine nakiuza kwakuwa nina shida na pesa.
8. Kimepimwa kwa hatua za awali, mauziano yatafanyika ofisi za Serikali za mitaa.
9. Bei ni million 8,200,000/=
Piga simu au whatsapp 0693300971