Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA MBEZI BEACH SALASALA-KILIMAHEWA , KIMEPIMWA, BARABARA YA LAMI.

Plot4Sale KIWANJA KINAUZWA MBEZI BEACH SALASALA-KILIMAHEWA , KIMEPIMWA, BARABARA YA LAMI.

Jojo123

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
432
Reaction score
703
Kiwanja Hiki kimepimwa, mawe yasha wekwa, Hati ndio zinatolewa mwezi Aprili,kwasasa kuna hati za mauziano ya Serikali zamitaa na mkataba wa kisheria wa mauziano.

Kina ukubwa wa 520sqm(Angalia picha zilizo ambatanishwa na tangazo hili kukiona vizuri)

Maji Bomba kubwa la mtaa liko mita 10 tu kutoka site ilipo mtaa mzima washa fungiwa ma bomba na mita, maji yanatoka kila siku, Kisima kikubwa cha Dawasa kiko Maeneo hayo kimezinduliwa january na Waziri wa maji.

Umeme upo nyumba za pemben huitaji nguzo.
Eneo: Mbezi beach ya Salasala, Mtaa Wa Nanyumbu.
Bei: 17Milion (ingawaje madalali wana kitangaza kwa 20milion) ukipitia kwangu una save 3milion.

Sababu za kuuza: Nimepata Dharura ya Mgonjwa wa matibau ya nje ya nchi.
Mawasiliano yangu mimi Mmiliki mwenyewe hakuna dalali:
j
 

Attachments

  • RAMANI KIWANJA SALASALA-1.jpg
    RAMANI KIWANJA SALASALA-1.jpg
    51.5 KB · Views: 48
  • IMG_20181222_131546.jpg
    IMG_20181222_131546.jpg
    434.6 KB · Views: 51
  • IMG_20181222_131638.jpg
    IMG_20181222_131638.jpg
    394.2 KB · Views: 65
  • Picha site Salasala 520sqm.png
    Picha site Salasala 520sqm.png
    196.8 KB · Views: 56
Bila hati Bado hujanipata
nikupate nikupeleke wapi kaka?? unadhani maeneo hayo ya mbezi ya salalal ni sawa na kisemvule au chanika? upate chenye hati iliyo tayari eneo hili la salasala utanunua 35 kwa ukubwa huu wa kiwanja kama changu.. na mm hati zikimalizika nikikabidhia mwezi wa nne baei na pandisha .. muhimu siyo kila mtu kazaliwa kuishi maeneo husika.. so wewe enjoy eneo la hadhi yako kaka..
 
nikupate nikupeleke wapi kaka?? unadhani maeneo hayo ya mbezi ya salalal ni sawa na kisemvule au chanika? upate chenye hati iliyo tayari eneo hili la salasala utanunua 35 kwa ukubwa huu wa kiwanja kama changu.. na mm hati zikimalizika nikikabidhia mwezi wa nne baei na pandisha .. muhimu siyo kila mtu kazaliwa kuishi maeneo husika.. so wewe enjoy eneo la hadhi yako kaka..
sio kirahisi hivyo kunishawishi wewe Pandisha BEI unayotaka ila UWE NA HATI kutupamba kuna hati za mauziano za serikali ya mtaa BADO SIO JIBU..serikali ya mtaa haiuzi kiwanja na wala haina mamlaka hiyo,,naona umekazia kabisa eti kuna mkataba wa kisheria BADO SIO JIBU...point ya msingi ni HATI other wise kiwanja kingekua chako unakimili kihalali na una hati umeamua kukimega kuuza hapo ningekuelewa Ila sio kwa maneno matupu hivyo yasiyo na hata ushawishi...Utawapata wenye mitetemo ya kumiliki kiwanja mara ya kwanza..Pandisha uza hata mil.100 ila HATI NAIOMBA ndio tuendelee..
 
Back
Top Bottom