J Jonayz72 New Member Joined Jul 11, 2011 Posts 2 Reaction score 0 Jul 11, 2011 #1 Nauza kiwanja kipo mbezi beach medium density kwa anaye hitaji tuwasiliane kwa 0688 308967
P Parachichi JF-Expert Member Joined Jul 22, 2008 Posts 510 Reaction score 102 Jul 11, 2011 #2 weka bei mukubwa!mbezi beach kubwa!kuwa specific ni sehemu gani watu waingize dau!je kimepimwa?ukubwa ni sqm ngap?
weka bei mukubwa!mbezi beach kubwa!kuwa specific ni sehemu gani watu waingize dau!je kimepimwa?ukubwa ni sqm ngap?
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Jul 11, 2011 #3 Kaka weka picture,piga hata kwenye cm kaka uweke watu wajionee live ili mtu haweze kuona na anegotiate deal.
Kaka weka picture,piga hata kwenye cm kaka uweke watu wajionee live ili mtu haweze kuona na anegotiate deal.
J Jonayz72 New Member Joined Jul 11, 2011 Posts 2 Reaction score 0 Jul 12, 2011 Thread starter #4 Parachichi said: weka bei mukubwa!mbezi beach kubwa!kuwa specific ni sehemu gani watu waingize dau!je kimepimwa?ukubwa ni sqm ngap? Click to expand... Ni medium density kimepimwa na kina ofa, kipo mbezi high school upande wa kulia kuelekea bagamoyo mtaa wa pili 150m.Tsh
Parachichi said: weka bei mukubwa!mbezi beach kubwa!kuwa specific ni sehemu gani watu waingize dau!je kimepimwa?ukubwa ni sqm ngap? Click to expand... Ni medium density kimepimwa na kina ofa, kipo mbezi high school upande wa kulia kuelekea bagamoyo mtaa wa pili 150m.Tsh
Mshume Kiyate JF-Expert Member Joined Feb 27, 2011 Posts 6,764 Reaction score 896 Jul 12, 2011 #5 Mkuu bei mbona imechangamka hivyo medium 150m.