Plot4Sale Kiwanja kinauzwa mbezi

Fibanochi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2018
Posts
476
Reaction score
1,018
Habari wadau,
Wakuu nauza kiwanja mbezi malamba mawili kina upana wa 20m kwa urefu wa 27 kipo eneo lilichangamka sana, ni umbali wa mita 300 kutoka barabara kubwa mpya ya lami ya kinyerezi mbezi. Umeme upo. Hy sehemu inafaa sana kwa makazi na frame za biashara sababu kipo kwa mbele kimepakana na barabara ya mtaa. Tuchekiane PM for more info.
Bei ni milioni saba..(7m)! Instalment inakubalika kwa utaratibu maalum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…