choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Kuna eneo linauzwa ambalo liko na kibanda chake, maeneo ya Mbutu kigamboni. Unaeza hcho kibanda ukakiendeleza kwa makazi au unaeza kuamua kufanya ufugaji pia au unavyopenda mwenyewe.
•Ukubwa ni mita 20 kwa 25
•Kiko center
•Nauli kwa daladala kutoka fery ni 1000/
•Nguzo ya umeme iko karb na hlo eneo
•Kiko kilomita 2 kutoka baharini (beach)
•Bei ni milion 5 pungufu unaongea. Karibuni sana.
Kwa biashara waweza kunichek 0713806766.
•Ukubwa ni mita 20 kwa 25
•Kiko center
•Nauli kwa daladala kutoka fery ni 1000/
•Nguzo ya umeme iko karb na hlo eneo
•Kiko kilomita 2 kutoka baharini (beach)
•Bei ni milion 5 pungufu unaongea. Karibuni sana.
Kwa biashara waweza kunichek 0713806766.