Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mkono, Arusha

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mkono, Arusha

Bobldi

Member
Joined
Jun 24, 2019
Posts
21
Reaction score
6
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.

Kina ukubwa wa Square meter 1080

kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
 
Daaah hii ndi changamoto y madalali ona Bei ilivyo kubwa. Huenda tajiri hajui hii Bei. MTU chake bhana
 
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.

Kina ukubwa wa Square meter 1080

kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
Mkonoo sehemu ganii??
Na bei kiasi ganii??
 
Kuña viwanja vipo katiti 20 kwa 15 million 2500000 vipo karibu na Barara bara maji umeme vyote vina patikana
Mkono vina upana na urefu wa 20 kwa 18 vina uzwa million 6 kwa kila kiwanja
 
Daaah hii ndi changamoto y madalali ona Bei ilivyo kubwa. Huenda tajiri hajui hii Bei. MTU chake bhana
Bei ya kiwanja ni million 18 boss amna udalali mim ndo mwenye kiwanja
 
Back
Top Bottom