Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Msasani

Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Msasani

Bak byzo I.T

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2014
Posts
266
Reaction score
125
Kiwanja kinauzwa
Dar es salaam,msasani mil 350
Kimweri Avenue near by Tirdo
kinafaa ata kwa yard ya magar


Mawasiliano
0657 131366
 
We jamaa mbishi. Sasa unafanya bure hizo businesses. We sema tu u dalali yaishe.
Anyways back to the subject. Milioni 100 vipi itafaa?
 
Site Details hazipaswi kuwekwa wazi serious customers wafike eneo tajwa wajionee na mazingira kama atayapenda thn tutafanya biashara
Kwa mtindo huu wa kujifanya much know hutaki kusahihishwa wateja utawasikia redioni tu.
Eti serious buyer aje!!!!!
Hivi hii dunia ya kicapitalist hii ni nani aharibu ratiba zake kwa jambo ambalo hajafikia muafaka.
Matangazo ya kitoto peleka fb kule watakuja fake buyers huku hata mia mfukoni hawana.
Watajifanya wamekolea bei ili tu watongoze visichana kwa kuonekana wana pesa.
 
Kwa style hii hawa ndio waliouza eneo la baba wa Taifa.
 
Kwa mtindo huu wa kujifanya much know hutaki kusahihishwa wateja utawasikia redioni tu.
Eti serious buyer aje!!!!!
Hivi hii dunia ya kicapitalist hii ni nani aharibu ratiba zake kwa jambo ambalo hajafikia muafaka.
Matangazo ya kitoto peleka fb kule watakuja fake buyers huku hata mia mfukoni hawana.
Watajifanya wamekolea bei ili tu watongoze visichana kwa kuonekana wana pesa.
Jamaa ana lugha ya kidalali mwamzo mwisho

Pure dalali
 
Msasani ipi ??? Au inadhani msasani yote ni kuzuri !! Kuna msasani ya uswazi kama tandale
 
Kuna huyu na yule mwenye kiwanja salasala
 
Back
Top Bottom