Bak byzo I.T
JF-Expert Member
- Jun 29, 2014
- 266
- 125
Mbona you sound Kama dalali tu?Madalali hawatakiwi
Mbona you sound Kama dalali tu?
Unauzaje kiwanja huna details za size, title, etc.?
Hivi hapa Tz hakunaga course za udalali?!
kama umeweza kufanya biashara nyingi tu.. si ndio udalali wenyeweMkuu mie c dalali wanao nijua nshafanya nao biashara nyingi tu
Madalali hawatakiwi
Mkuu mie c dalali wanao nijua nshafanya nao biashara nyingi tu
Kwa mtindo huu wa kujifanya much know hutaki kusahihishwa wateja utawasikia redioni tu.Site Details hazipaswi kuwekwa wazi serious customers wafike eneo tajwa wajionee na mazingira kama atayapenda thn tutafanya biashara
we jamaa c yule tapeli mzoefu.. umerudi tena jf,,,Site Details hazipaswi kuwekwa wazi serious customers wafike eneo tajwa wajionee na mazingira kama atayapenda thn tutafanya biashara
vyuma vimekaza ,punguza beiwe jamaa c yule tapeli mzoefu.. umerudi tena jf,,,
Poa dalaliSite Details hazipaswi kuwekwa wazi serious customers wafike eneo tajwa wajionee na mazingira kama atayapenda thn tutafanya biashara
Jamaa ana lugha ya kidalali mwamzo mwishoKwa mtindo huu wa kujifanya much know hutaki kusahihishwa wateja utawasikia redioni tu.
Eti serious buyer aje!!!!!
Hivi hii dunia ya kicapitalist hii ni nani aharibu ratiba zake kwa jambo ambalo hajafikia muafaka.
Matangazo ya kitoto peleka fb kule watakuja fake buyers huku hata mia mfukoni hawana.
Watajifanya wamekolea bei ili tu watongoze visichana kwa kuonekana wana pesa.
We ni dalali mbuzi sijapata kuonaSite Details hazipaswi kuwekwa wazi serious customers wafike eneo tajwa wajionee na mazingira kama atayapenda thn tutafanya biashara