Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,603
- 1,135
Eneo lipo HIMO pale njia panda ya kuelekea moshi mjini na arusha, Eneo ni kubwa lina UREFU: Hatua 65 na UPANA: Hatua 45, kiwanja ni tambarare na kipo umbali wa takribani mita 150 kutokea njia kuu ya mabasi yanayoelekea MOSHI na ARUSHA, kuna mji uliojengeka kwa makazi ya watu kuzunguka eneo hilo...maji na umeme vyote vipo, Kiwanja kimelipiwa documents zote manispaa hadi kufikia mwaka huu, Hakina tatizo au mgogoro wowote.
BEI YAKE NI MILIONI 6.8 ...maongezi yapo kwa atakayehitaji.
MAWASILIANO YANGU: 0712269097.
BEI YAKE NI MILIONI 6.8 ...maongezi yapo kwa atakayehitaji.
MAWASILIANO YANGU: 0712269097.