uncledalali JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 249 Reaction score 118 Jul 20, 2016 #1 Ukubwa wa kiwanja ni 700Mita za Mraba. Kiwanja kipo eneo la Makazi, hakijapimwa, unaruhusiwa kuleta Mtafiti wa ardhi kukiangalia kimekaaje. Kiwanja kipo eneo zuri, barabara ni nzuri hadi kwenye kiwanja. Bei ni Tshs 8500,000 Tuwasiliane 0713226191
Ukubwa wa kiwanja ni 700Mita za Mraba. Kiwanja kipo eneo la Makazi, hakijapimwa, unaruhusiwa kuleta Mtafiti wa ardhi kukiangalia kimekaaje. Kiwanja kipo eneo zuri, barabara ni nzuri hadi kwenye kiwanja. Bei ni Tshs 8500,000 Tuwasiliane 0713226191
K Kingdom Finder JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 1,119 Reaction score 1,391 Jul 20, 2016 #2 Ongeza nyama basi. Maji, umeme na barabara vipo umbali gani
uncledalali JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 249 Reaction score 118 Jul 20, 2016 Thread starter #3 Umeme Upo Jirani kabisa, Maji yapo na Umbali toka kwenye kiwanja hadi kiwanda cha sementi Wazo ni kama Kilomita3.
Umeme Upo Jirani kabisa, Maji yapo na Umbali toka kwenye kiwanja hadi kiwanda cha sementi Wazo ni kama Kilomita3.