Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiko mbeya ?Kiwanja kinapatikana Utowangoma ni Km 1 toka barabara kuu ktk njia ya kwenda Kambi stoo.Tuwasiliane kama unahitaji kwa simu namba 0677089280View attachment 1826626
Mtafute mtu akuandikie kama huwezi, kwa akili yako kila mtu anajua toa ngoma iko wapi...[emoji23] mwengine anajua toa ngoma labda ipo nyaminywili huko....Kiwanja kinapatikana Utowangoma ni Km 1 toka barabara kuu ktk njia ya kwenda Kambi stoo.Tuwasiliane kama unahitaji kwa simu namba 0677089280View attachment 1826626
bro ni aje? kina hati?Utowangoma ipo Dar es Salaam karibu na Kigamboni .Barabara ya kutokea Mbagara kuelekea Kigamboni.
Hivi ni Tuangoma,Toangoma au Utowangoma kama ulivyoandika?Utowangoma ipo Dar es Salaam karibu na Kigamboni .Barabara ya kutokea Mbagara kuelekea Kigamboni.
Duuuhhhh, kama ndio hapo ulipopata chini kiwanja kisicho na nyumba kinauzwa mpaka ml.2.Kiwanja kinapatikana Utowangoma ni Km 1 toka barabara kuu ktk njia ya kwenda Kambi stoo.Tuwasiliane kama unahitaji kwa simu namba 0677089280View attachment 1826626
Sio Tuwangoma Mzee... huko ni Utowangoma, Mbeya hukoUtowangoma ipo Dar es Salaam karibu na Kigamboni .Barabara ya kutokea Mbagara kuelekea Kigamboni.
Ushachanganya habari .... Utatapeliwa hakuna kiwanja cha M2. TuangomaDuuuhhhh, kama ndio hapo ulipopata chini kiwanja kisicho na nyumba kinauzwa mpaka ml.2.
Ukibisha naweka namba ya simu ya majamaa wanaouza viwanja viwanja huko kwa ml.3 ili anayetaka awatafute.
Weka bei tukunangeKiwanja kinapatikana Utowangoma ni Km 1 toka barabara kuu ktk njia ya kwenda Kambi stoo.Tuwasiliane kama unahitaji kwa simu namba 0677089280View attachment 1826626