Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

Stanley mrema

Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
22
Reaction score
2
Kiwanza kinaunza
Mahali: Kinzudi
Ukubwa: 40*50m
Bei:. Milion 65 (maongez yapo)
Umeme na maji vipo hapo hapo

NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz wako kulirekebisha au kubomoa na kuanza ujenz upya
 
Kiwanza kinaunza
Mahali: Kinzudi
Ukubwa: 40*50m
Bei:. Milion 65 (maongez yapo)
Umeme na maji vipo hapo hapo

Kinzudi ndio wapi huko?, kwa nini hujalielezea vizuri hilo eneo lako kuwa liko karibu na nini? Barabara ipo ya uhakika, kiwanja kimepimwa na kina hati?

Lakini kaka kiwanja hata hekari 1 hakijafika unauza 65Mil
 
Kinzudi hii hii niijuayo mimi ya Goba ndio size hiyo unauza million 65? Duuuhh. Hapo ukiuza kwa bei nzuri saaaaana utauza milion 25
 
Kiwanza kinaunza
Mahali: Kinzudi
Ukubwa: 40*50m
Bei:. Milion 65 (maongez yapo)
Umeme na maji vipo hapo hapo

NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz wako kulirekebisha au kubomoa na kuanza ujenz upya
kinzudi ni wilaya gani, mkoa gani, eneo la wapi hilo kaka.
 
Kinzudi ndio wapi huko?, kwa nini hujalielezea vizuri hilo eneo lako kuwa liko karibu na nini? Barabara ipo ya uhakika, kiwanja kimepimwa na kina hati?

Lakini kaka kiwanja hata hekari 1 hakijafika unauza 65Mil
Kata ya Goba
Wilaya ya Ubungo
Barabara ni ya uhakika ni hatua 50 toka mwisho wa daladala za Kinzudi. Ukishukia Makonde pikipiki ni 1500.
 

Attachments

  • 1483086886318.jpg
    65.1 KB · Views: 36
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…