rutaratara
Member
- Jan 27, 2018
- 21
- 12
Kibamba kwa MANGI/ Street mdidimua.500m unatumia dakika 20?!
Au unamaanisha 5km?
Anyways, Kibamba yenyewe ni ipi? CCM? Shule? Hospital? Kibwegere? Hebu toa maelezo yanayoeleweka
upimaji unaendelea , unalipa 200000/ selikarini , mkifika ishirini , mnapimiwaUmbali wa m500 unatembea dk 30 mkuu??.. Btw kimepimwa?