JMWAKA JF-Expert Member Joined Jun 18, 2012 Posts 739 Reaction score 652 Jan 31, 2018 #1 Nauza kiwanja 20×20 kipo Kiluvya kilomita 1 kutoka lami kuu karibu na zahanati ya Kiluvya na shule ya sekondari bei yake milioni 3.5 mazungumzo yapo Mawasilian
Nauza kiwanja 20×20 kipo Kiluvya kilomita 1 kutoka lami kuu karibu na zahanati ya Kiluvya na shule ya sekondari bei yake milioni 3.5 mazungumzo yapo Mawasilian
Baba musa333 JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 423 Reaction score 238 Jan 31, 2018 #2 Kimepimwa una hati sijekua mali ya shule au zahanat
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,723 Reaction score 4,286 Jan 31, 2018 #3 Kimepimwa?una hati
JMWAKA JF-Expert Member Joined Jun 18, 2012 Posts 739 Reaction score 652 Jan 31, 2018 Thread starter #4 Nina hati ya kimila Taratibu zote zinafwata za serikali ya mtaa ni kipande cha kiwanja n kikubwa nakata kipande cha 20×20
Nina hati ya kimila Taratibu zote zinafwata za serikali ya mtaa ni kipande cha kiwanja n kikubwa nakata kipande cha 20×20
K kyata JF-Expert Member Joined Jun 20, 2015 Posts 2,535 Reaction score 2,499 Jan 31, 2018 #5 JMWAKA said: Nina hati ya kimila Taratibu zote zinafwata za serikali ya mtaa ni kipande cha kiwanja n kikubwa nakata kipande cha 20×20 Click to expand... Lara 30m*30m nikupe hiyo pesa mkuu.
JMWAKA said: Nina hati ya kimila Taratibu zote zinafwata za serikali ya mtaa ni kipande cha kiwanja n kikubwa nakata kipande cha 20×20 Click to expand... Lara 30m*30m nikupe hiyo pesa mkuu.