Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa

Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa

Prince Juzo

Member
Joined
Feb 4, 2018
Posts
56
Reaction score
73
Kiwanja kipo Mahoma Nyika (kitalu BD), Dodoma.

Kiwanja kimepimwa, ukubwa ni 514 m².

Sifa za Eneo kiwanja kilipo.
Kipo karibu na stendi ya mabasi ya mkoani, soko la ndugai , Magufuri City, Ring road na uwanja wa ndege wa Msalato International Airport. Yaani kimezungukwa na hivi vitu.

Sababu ya kukiuza: Ninashida na hela.

Bei ni Tsh 4.5 M.

Kama una huitaji ni PM.
 
Ikifika 2m nicheki mkuu.
Kiwanja kipo Mahoma Nyika (kitalu BD), Dodoma.

Kiwanja kimepimwa, ukubwa ni 514 m².

Sifa za Eneo kiwanja kilipo.
Kipo karibu na stendi ya mabasi ya mkoani, soko la ndugai , Magufuri City, Ring road na uwanja wa ndege wa Msalato International Airport. Yaani kimezungukwa na hivi vitu.

Sababu ya kukiuza: Ninashida na hela.

Bei ni Tsh 4.5 M.

Kama una huitaji ni PM.
 
Back
Top Bottom