Kiwanja kinauzwa


We kijana vp unaenda offline wakati una-hot dili hapa kijiweni?......kalagabaho.....!

Shapu ....mesikia mineno hiyo? sasa ulete blabla zako tena.......!
 
We kijana vp unaenda offline wakati una-hot dili hapa kijiweni?......kalagabaho.....!

Shapu ....mesikia mineno hiyo? sasa ulete blabla zako tena.......!

Wewee you know me a man of actions! titaona next week kama deal itakuwa bado ipo.
 
Hivi wale walio hamishwa air port walipelekwa wapi? si huko huko Pugu?
Hata wale wa pale Tabata dampo walipelekwa wapi?
 
Wewee you know me a man of actions! titaona next week kama deal itakuwa bado ipo.

.....haya mzee wa LAND BANK!....ha!hahaaa!

Danda...ukiuza hii kitu 10% lazima kwangu hilo debe si umeliona.....tehetheheheeeeee!
 
habari kaka,hiki kiwanja bado kipo tuanzishe mjadala tena kwa private mawasiliano?kama yes hebu weka namba yako nikutafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…