Mkuu vip Villa Park haijaanza kutoa huduma, na je wale Kamanyola Band sikuhizi Burudan zao wapi villeKiwanja cha uhakika mwanza ni River side Park iko maeneo ya nyasaka maduka tisa, karibia saana mkuu
Mtajie tu. Sema hapo unataka offer tu [emoji3][emoji3]
Sio Diamond au The Cask ya Rock City Mall. Huko Nyasaka mbali hivyo au ni ofisi yako.Kiwanja cha uhakika mwanza ni River side Park iko maeneo ya nyasaka maduka tisa, karibia saana mkuu
Hahaaa nishamtajia mkuuMtajie tu. Sema hapo unataka offer tu [emoji3][emoji3]
Bado hawaja Anza yule jamaa wanamletea figisuMkuu vip Villa Park haijaanza kutoa huduma, na je wale Kamanyola Band sikuhizi Burudan zao wapi ville
Riverside ilikuaga zaman 2017-18 saa hv kafulia mbaya unaweza kwenda ukajikuta mwenyeweKiwanja cha uhakika mwanza ni River side Park iko maeneo ya nyasaka maduka tisa, karibia saana mkuu
Riverside ilikuaga zaman 2017-18 saa hv kafulia mbaya unaweza kwenda ukajikuta mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Amazon,Fays, bundesiliga,night fashion ( bia ni bei elekezi
The cask, Diamond,the joint,( hvi viwanja bei zake sio elekezi...
Cask bia zote Ni buku nne
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale serikali walikua wanamtolea macho SanaAliwafanyaje mkuu?Pale palikua panabamba sana aisee.
Eee mzee Kuna kitimoto Safi kabisaThe joint ni ile kama unaenda isamilo mkuu?
Rock bottom ni club lazima ibambe mzee watoto wa chuoHio ndio ya viwanja vya bata vya Mwz mkuu.
Hivi Rock Bottom na pale Fusion bado panabamba mkuu?