Kiwanja Kwa matumizi ya sheli kinauzwa.

Dalali wa mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
326
Reaction score
464
Habari wanandugu wa Jua na AC.

Nauza kiwanja Kwa matumizi ya sheli.
Limepimwa kwajili ya matumizi ya sheli na wizara ya Ardhi.

Kipo katika barabara kuu ya East Africa
Kiwanja kipo Tanga Korogwe.

Sqm 2000
Bei milion 105
Nipigie simu #dalaliwamjini 0754693556
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…