Nauza kiwanja maeneo ya dege Kigamboni jiran na magorofa ya NSSF....hakijapimwa ila kina mita kama 28*25. Kipo jiran kabisa na barabara. Kwa mwenye kuhitaji tuchekiane 0713806766. Bei ni milion 5 na inashuka kidogo.
Kuna viwanja viwili kikubwa na kidogo vinauzwa maeneo ya dege kigambon jiran na magorofa ya NSSF. Kikubwa milion 6 na kidogo milion 3.5. Mwenye uhitaji anichek 0764503076. Karibun sana
Kiwanja kinauzwa kigambon maeneo jiran na mradi wa NSSF...ukubwa wake ni mita 40*50 na kipo jiran kabisa na barabara...bei yke ni milion 7 maelewano yapo. Karibun sana, 0713806766.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.