Plot4Sale Kiwanja mita 30 kwa 30 kinauzwa: Mbezi Makabe kwa 9mil

Plot4Sale Kiwanja mita 30 kwa 30 kinauzwa: Mbezi Makabe kwa 9mil

Mwita Mtu Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
739
Reaction score
1,113
Hello Jf.
Kiwanja kiko katika mazingira mazuri mazuri kama kinavyoonekana

Kishapimwa, hati ndio inasubiriwa

Umeme upo, hatua chache huongezi nguzo

Maji yapo lakin chumvi. Dawasa inakuja soon.

Kinafikika kwa gari.

Mita 30 kwa 30, 9 million tu

1611558759389.png
 
Makabe ipi mkuu, njia ya Msakuzi au msumi
 
Hello Jf.
Kiwanja kiko katika mazingira mazuri mazuri kama kinavyoonekana

Kishapimwa, hati ndio inasubiriwa

Umeme upo, hatua chache huongezi nguzo

Maji yapo lakin chumvi. Dawasa inakuja soon.

Kinafikika kwa gari.

Mita 30 kwa 30, 9 million tu

View attachment 1685644
Hello Jf.
Kiwanja kiko katika mazingira mazuri mazuri kama kinavyoonekana

Kishapimwa, hati ndio inasubiriwa

Umeme upo, hatua chache huongezi nguzo

Maji yapo lakin chumvi. Dawasa inakuja soon.

Kinafikika kwa gari.

Mita 30 kwa 30, 9 million tu

View attachment 1685644
Mkuu chukua 5M njoo DM kama utaridhia.
 
Back
Top Bottom