Plot4Sale Kiwanja+ nyumba ya chumba kimoja (master) kwa 4m tu.

Plot4Sale Kiwanja+ nyumba ya chumba kimoja (master) kwa 4m tu.

NAREI

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2017
Posts
1,730
Reaction score
1,660
Salaam,
Mwenyewe anauhitaji wa haraka.
Location: kigamboni, Kibada.
Anauza kiwanja chenye ukubwa wa meter 20 kwa 20 (sqm 400).
Kiwanja kina nyumba yenye chumba kimoja Chenye choo ndani.
Kiwanja kinapatikana Kibada stand.
(Meter 600 kutoka Kibada stand)
Eneo lote ni tambarare.
Karatasi za mauziano ya kiwanja kutoka serikali ya mtaa zipo.
Unaweza kupitia njia ya tuangoma au ferry zote ni sahihi.
Bei : 4m
Nimeshindwa kuweka video hapa.
Kwa anayehitaji video naweza kumtumia kwa njia ya WhatsApp.
Contact: 0756 832833
IMG-20181123-WA0030.jpeg
 
Salaam,
Mwenyewe anauhitaji wa haraka.
Location: kigamboni, Kibada.
Anauza kiwanja chenye ukubwa wa meter 20 kwa 20 (sqm 400).
Kiwanja kina nyumba yenye chumba kimoja Chenye choo ndani.
Kiwanja kinapatikana Kibada stand.
(Meter 600 kutoka Kibada stand)
Eneo lote ni tambarare.
Karatasi za mauziano ya kiwanja kutoka serikali ya mtaa zipo.
Unaweza kupitia njia ya tuangoma au ferry zote ni sahihi.
Bei : 4m
Nimeshindwa kuweka video hapa.
Kwa anayehitaji video naweza kumtumia kwa njia ya WhatsApp.
Contact: 0756 832833
View attachment 946793
Video ya nn? Mbona hapo kunaonekana kuna bonde
 
Ukitaka kufanikiwa jiepushe baadhi ya style ya watu, kuna watu wanapambana ili mwenzao asifanikiwe
 
KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI KARIBU NA CHANGANI BEACH, UKUBWA WAKE NI SQM 930,KIMEPIMWA NA KINA HATI MILIKI KUTOKA WIZARA YA ARDHI,BEI YAKE NI MIL 9
 
Back
Top Bottom