NAREI
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 1,730
- 1,660
Salaam,
Mwenyewe anauhitaji wa haraka.
Location: kigamboni, Kibada.
Anauza kiwanja chenye ukubwa wa meter 20 kwa 20 (sqm 400).
Kiwanja kina nyumba yenye chumba kimoja Chenye choo ndani.
Kiwanja kinapatikana Kibada stand.
(Meter 600 kutoka Kibada stand)
Eneo lote ni tambarare.
Karatasi za mauziano ya kiwanja kutoka serikali ya mtaa zipo.
Unaweza kupitia njia ya tuangoma au ferry zote ni sahihi.
Bei : 4m
Nimeshindwa kuweka video hapa.
Kwa anayehitaji video naweza kumtumia kwa njia ya WhatsApp.
Contact: 0756 832833
Mwenyewe anauhitaji wa haraka.
Location: kigamboni, Kibada.
Anauza kiwanja chenye ukubwa wa meter 20 kwa 20 (sqm 400).
Kiwanja kina nyumba yenye chumba kimoja Chenye choo ndani.
Kiwanja kinapatikana Kibada stand.
(Meter 600 kutoka Kibada stand)
Eneo lote ni tambarare.
Karatasi za mauziano ya kiwanja kutoka serikali ya mtaa zipo.
Unaweza kupitia njia ya tuangoma au ferry zote ni sahihi.
Bei : 4m
Nimeshindwa kuweka video hapa.
Kwa anayehitaji video naweza kumtumia kwa njia ya WhatsApp.
Contact: 0756 832833