Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Umeongea kweli naona gullies hapo za kutosha
Hapana mkuu. Tumepasawazisha kwa kutumia greda ndio maana unapaona pako hivyo. Karibu mkuu tufanye biashara
Kwa kweli maji siyo ishu kabisa maana eneo tumelisawazisha kwa greda. Karibu inbox tuyajenge mkuu8ml, maji sio ishu
Njoo upaone mkuuSio kwa chuki wala ubaya ila kuwa na huruma na hela za watu.
Mkuu naomba tuwasiliane nije kupaona. Naona kidogo pana ka mteremko. Nakuja inboxKiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 400 kinauzwa kwa shilingi Milioni 12.
Kiwanja kiko wilaya ya Kinondoni eneo linaloitwa Mivumoni pia kiwanja kiko mita 700 kutoka Mivumoni Senta na kiko barabarani kabisa.
Huduma ya Maji na Umeme zipo.
Tuwasiliane inbox tufanye biashara.
View attachment 2144437
Karibu sana kiongozi tufanye biasharaMkuu naomba tuwasiliane nije kupaona. Naona kidogo pana ka mteremko. Nakuja inbox
Nimekufata inbox mkuuMkuu naomba tuwasiliane nije kupaona. Naona kidogo pana ka mteremko. Nakuja inbox