Kiwanja Tegeta

Kiwanja Tegeta

Dr Lizzy

Platinum Member
Joined
May 25, 2009
Posts
31,009
Reaction score
60,629
Wakuu kwa wale wanaofahamu naomba mnijulishe kiwanja cha kati ya heka moja na nusu na heka mbili maeneo ya Tegeta kinaweza kufikia bei gani????
Asanteni!
 
Wakuu kwa wale wanaofahamu naomba mnijulishe kiwanja cha kati ya heka moja na nusu na heka mbili maeneo ya Tegeta kinaweza kufikia bei gani????
Asanteni!

Nakushauri Sogea huku kwetu Bunju au sogea mbele kidogo Mapinga. Heka moja Tegeta huwezi kupata. Tegeta ushakuwa mji mama. Labda kama unataka kiwanja.
 
Nakushauri Sogea huku kwetu Bunju au sogea mbele kidogo Mapinga. Heka moja Tegeta huwezi kupata. Tegeta ushakuwa mji mama. Labda kama unataka kiwanja.
Mkuu pesa yake tu,anaweza kupata!!
 
Mkuu pesa yake tu,anaweza kupata!!
Tegeta kupata heka moja na nusu iliyo wazi ni ngumu sana labda ununue nyumba mbili au zaidi ndio unaweza kupata eneo hilo pamekuwa mjini sana kiasi kwamba viwanja haviuzwi kwa heka tena ni mita kadhaa tu pia gharama yake inaweza kuwa kubwa sana ingawa sina uhakika mie nilitafuta miaka flani ya nyuma eneo la kujenga nyumba ilikuwa ina-rangi kuanzia milioni 25 mpaka 50 tena kama robo heka hivi
 
Wakuu kwa wale wanaofahamu naomba mnijulishe kiwanja cha kati ya heka moja na nusu na heka mbili maeneo ya Tegeta kinaweza kufikia bei gani????
Asanteni!
15 M Tshs hakina docs
 
Wakuu kwa wale wanaofahamu naomba mnijulishe kiwanja cha kati ya heka moja na nusu na heka mbili maeneo ya Tegeta kinaweza kufikia bei gani????
Asanteni!

Kwa Darisalama hili ni shamba....tegeta hakuna mashamba
 
Wakuu kwa wale wanaofahamu naomba mnijulishe kiwanja cha kati ya heka moja na nusu na heka mbili maeneo ya Tegeta kinaweza kufikia bei gani????
Asanteni!

Hilo ni shamba sio kiwanja
 
Nakushauri Sogea huku kwetu Bunju au sogea mbele kidogo Mapinga. Heka moja Tegeta huwezi kupata. Tegeta ushakuwa mji mama. Labda kama unataka kiwanja.
Huko mbali sana babu...labda kama utakua unanipa lift!Asante kwa ushauri lakini!
 
eneo hilo pamekuwa mjini sana kiasi kwamba viwanja haviuzwi kwa heka tena ni mita kadhaa tu pia gharama yake inaweza kuwa kubwa sana ingawa sina uhakika mie nilitafuta miaka flani ya nyuma eneo la kujenga nyumba ilikuwa ina-rangi kuanzia milioni 25 mpaka 50 tena kama robo heka hivi
Dah kumbe kuna bei hivyo?Mi nimepata nlitaka kujua kama kunalipa!Asante mkuu!!
 
15 M Tshs hakina docs
Mi nimepata tayari!Ila huyo anaeuza bila hati mtu atajuaje kama ni chake kweli?Ndo ile mtu umeanza kujenga unaletewa mmiliki mwingine!
 
Mi nimepata tayari!Ila huyo anaeuza bila hati mtu atajuaje kama ni chake kweli?Ndo ile mtu umeanza kujenga unaletewa mmiliki mwingine!
Usinunue kiwanja bila hati. Utaliwa.
 
Tegeta kumeharibika sana sasa.....asilimia nyingi ya watu wanaouza viwanja si vyao. Take care, usinunue kiwanja bila hati. Hata kama kuna hati, ulizia pia majirani kama wawili watatu kabla ya kununua......
 
Tegeta kumeharibika sana sasa.....asilimia nyingi ya watu wanaouza viwanja si vyao. Take care, usinunue kiwanja bila hati. Hata kama kuna hati, ulizia pia majirani kama wawili watatu kabla ya kununua......
Asante!
 
Back
Top Bottom