Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChiefUkubwa wa Kiwanja: 1200 Mita za Mraba.
Kimepimwa: Ndiyo.
Kina Hati: Ndiyo.
Bei: Tshs Milioni 100 ( Maelewano yapo )
Eneo kilipo kiwanja: Salasala Karibu na kwa aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Waitara.
Tuwasiliane: 0742141467
View attachment 1737752View attachment 1737754View attachment 1737755
View attachment 1737750
View attachment 1737751
View attachment 1737753
Kwa sababu kina ukubwa wa mita za mraba 1200 ( sawa na viwanja vitatu vya 20 kwa 20 ) pia kipo umbali wa kilomita 4 kutoka barabara ya Bagamoyo pia eneo lipo kwenye mazingira mazuri yenye huduma za umeme, maji, hospital, shule nzuri, masoko, pia lina barabara nzuri.Hiyo milioni 100 sababu kipo karibu na waitara?
DahKwa sababu kina ukubwa wa mita za mraba 1200 ( sawa na viwanja vitatu vya 20 kwa 20 ) pia kipo umbali wa kilomita 4 kutoka barabara ya Bagamoyo pia eneo lipo kwenye mazingira mazuri yenye huduma za umeme, maji, hospital, shule nzuri, masoko, pia lina barabara nzuri.
Tuoneane huruma watanzania jamaniHiyo milioni 100 sababu kipo karibu na waitara?