nawahurumia wasiofahamika kwa nondo kali wanazoshushiwa.Du sijui kama wanasoma jinsi watu wengi walivyochukizwa na uharamia wao.Mungu amewakatalia na wakileta ukaidi,wataondoka wao!..Mungu hadhihakiwi
muda utasemaHili suala serikali haiwezi pona
watajijuKiwewe ni kikubwa, ni nadra sana CDF kuitisha press conference hadi kuwe na tishio kubwa kwa nchi, katika maisha yangu sijawahi kuona Jaji Mkuu CJ akiitisha press kubishana na wananchi majukwaani masuala ya mahakamani kwanza yeye sio prosecutor wala DCI wala DPP, matukio haya yanaonyesha taharuki waliyonayo watawala kwa sasa.
kumwaga damu ya MTU asiye na hatia ni mbaya sanaSiku zote wachawi na wauaji huwa wanaweweseka mpaka kufa kwao taratibu tumeanza shuhudia.
kivipi?By the way tumeshachoka na huu wimbo wa lisu ...alijitakia mwenyew
kama.....Kuna wanaharakati waliuliwa na nchi haikubaki ikaenda mbele
jambazi mbona kimya?
du ! nyie watu hamuogopi?JPM anahusika katika hili
Mungu huwa hahitaji ushahidi maana anaujua ukweli wote. Hakuna haja ya kumtuhumu yeyote lakini kuna haja ya kumwomba Mungu ili asikie kilio cha damu ya Lisu kinachodai kisasi mbele za Mungu. Kisasi ni halali ya Mungu, na lazima ataitendea haki damu ya Lisu.HISIA HISIA TU HAKUNA UKWELI WOWOTE WA USHIRIKI WA VYOMBO VYA DOLA NI ASSUMPTIONS ZISIZO NA CHEMBE YA USHAHIDI.
Nipo mkuu kwema...jambazi mbona kimya?
eee!Nipo mkuu kwema...
Bashite alianza kufeli kuanzia darasa la saba.
Form for alifeli.
Form six hapajui ajawahi kukanyaga.
Kuvamia kituo cha habari kafeli.
Vita vya shisha kafeli.
Vita vya madawa ya kulevya kafeli.
Jaribio la kumbambikizia Gwajima mtoto kafeli.
Kumteka Roma kafeli.
Jamani Upande wa Lisu ndio sasa kafeli zaidi tena zaidi.
Ushauri:
Omwana wa malanja nikikushauri utanisikia?
Ww unajielewa cyo kama mafala wa jembe na nyundo!Hakika wewe umegundua jambo !!! Jaji anaongea mambo yasiyomuhusu kabisa !!! Uchunguzi wa nje au ndani anahusikaje ?? Na kwanini anaogopa uchunguzi wa nje kwa kiasi cha kujiaibisha kuingilia,mambo ya kiusalama ? Siayasubiri yamfikie,ktk meza yake kwa kuhitajika taaluma yake ya sheria???? Na kwanini baada ya jaribio la kumuua Lisu kubuma ?.kwakweli kuna jambo kubwa sana nala kuitia nchi Aibu linalokumbatiwa na wakuu wa nchi lisilipuke.kwanini sasa ?Mara mwanajeshi na yeye anapigwa risasi tu eti kwakua Lisu kapigwa rizasi !!! Na waliompiga wasikamatwe ili iwe suluhu ya issue ya Lisu !!!.kweli mjeshi hatakama ni mstaafu afanyiwe hivyo,hili jeshi la nchi hii lingelala tu kuona mwenzao anadhalilishwa eti na wasiojulikana!!!!.sio nchi hii ingechimbika?? Alafu anainuka na mjeshi kutete kibiti kwa gharama ya maisha ya Lisu !! Jamani,wakubwa na viongozi wa nchi hii,chonde,msitudharau kiasi hiki !!. Tuna akili,na tuna connect dorts za kauli toka kwa magufuli,kumkamata Lisu kila leo,nakupigwa risasi kwa Lisu.magufuli kinywa chake kimekua kiki thibitisha uadui na Lisu,upinzani kwa ujumla wake,na yeyote anayemkosoa.hivyo hizi yowe za viongozi,kwa sasa picha yake inaonyesha wazi bidii za makusudi kumnusuru magufuli tu,na sio vinginevyo.najeshi kuingizwa,sasa tujue magufuli anajiandalia kutawala milele,kwakua tutatumiwa jeshi kwenye uchaguzi kama ilivyokua Zanzibar !! Mungu wewe ndie mwanajeshi mkuu dunia yote.Tuponye na kila mpango ovu wowote wa ccm dhidi yetu.epusha raia,wapinzani,watoto,wanawake walemavu na wazee,ambayo ni makundi dhaifu kuuwawa kirahisi,na vijana weto ,kwamatumizi mabaya ya majeshi ya nchi yatakayofanywa na magufuli,Nakuamini sana na kukutegemea kwa hili na mengine yote,Amen.
Hajafa tuWw unajielewa cyo kama mafala wa jembe na nyundo!