atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Acha kutukana babu au ndio albadiri ndio imeanza kufanya kazi,ww kama hauusiki kaa utulie sio kutuletea povu lako hapaacha upashikuna nilichoongea mwanzo mkaanza shambulia si kwamba kilichompata lissu ni kizuri somehow yeye mwenyewe alishatambua na alijitoa mhanga.. nyie wapumbavu ndio mmekaza ati nafurahia kuumizwa lissu... mimi ndio maana nawaita mashahidi wa uongo... shuhudia mtu alichosema na sio upumbavu na ushabiki maandazi... wajalaana nyie
Hebu nawe joingeze kidogo. Roho ya kutamani kuua sio roho ya kishetani? Kutamani fulani afe ili kutimiza malengo yako ovu ya kutokosolewa ni akili ya kishetani, giza na kuzimu.Bunduki ni nguvu za Giza? maajabu ya leo haya... acheni viroba akili zenu zirejee... Hoja yangu inatakiwa ijibiwe na hoja sio viroja!
Na si hivyo tu, kukalia hela zilizochangwa kusaidia matibabu ukisubiri majeruhi afe nadhani ni zaidi ya ushetani na laana yake inaweza kutafuna hadi kizazi cha tano. Yaani watu wengine hata hawaeleweki, kwa nini uutafutie ukoo wako laana hivi hivi ukiwa macho?Hebu nawe joingeze kidogo. Roho ya kutamani kuua sio roho ya kishetani? Kutamani fulani afe ili kutimiza malengo yako ovu ya kutokosolewa ni akili ya kishetani, giza na kuzimu.
Mh!!!??? ... Huyu tayari Halal Badr imeshaingia kichwani jamani ... mlio karibu nae andaeni kamba ...acha upashikuna nilichoongea mwanzo mkaanza shambulia si kwamba kilichompata lissu ni kizuri somehow yeye mwenyewe alishatambua na alijitoa mhanga.. nyie wapumbavu ndio mmekaza ati nafurahia kuumizwa lissu... mimi ndio maana nawaita mashahidi wa uongo... shuhudia mtu alichosema na sio upumbavu na ushabiki maandazi... wajalaana nyie
Hii albadri imeanza kufanya kazi dahMh!!!??? ... Huyu tayari Halal Badr imeshaingia kichwani jamani ... mlio karibu nae andaeni kamba ...
Sasa hivi anatorokea jalalani ... maana haya matusi sio dalili njema ... huyu tayari jamani ...
Hakuna mtu ambaye nafsi yake inamsuta na kumtesa kama Spika wa Bunge Job Ndugai...haraka haraka alikuwa wa kwanza kuwataka Wabunge wachangie matibabu ya Mh. Tundu Lissu lakini kuwakilisha michango hiyo ikawa shiiida, je alikuwa akisubiri nini?Mara ... ana Bima yake ... mara ooh familia iandike barua ... hawaeleweki ...
Ninamaanisha Kaini yule muuaji mwenzenu; halafu mazwazwa wote hupenda kuwatukana watu wasikuwa na makosa nao!!! Babangu ana uhusiano gani na mjadala huu?Babako ndio anatakiwa amuuliza Kaini labda alimkuta enzi zake. au unamaanisha Kane wa Mieleka na yule Mchezaji mpira Uingereza?
Sasa kama unamkinga babako cain umri wake babako anaingia mara ngapi? au unamdharau sababu humjui na why ulimleta kwenye mjadara? Mimi nakupa majibu ili utulie na akili yako ipanuke maana imelala.Ninamaanisha Kaini yule muuaji mwenzenu; halafu mazwazwa wote hupenda kuwatukana watu wasikuwa na makosa nao!!! Babangu ana uhusiano gani na mjadala huu?
Itakuwa unauhusiano wa karibu na gurudumu sio bureOngea utakacho kwani unashuhudia uongo tu. Hivyo hakuna heshima atakupa mtu mwenye akili nzuri tafuta mashabiki wapumbavu watafurahia ulichoandika... kama hujui nchi inavyoendeshwa mnazania ni mchezo mchezo tu... mtasononeka hadi mpate midonda ya tumbo... Usidhanie siku utaamika ukute nchi imekuwa safi huko kwako ni kuchafu pekee...
jambo usilolijua ni bora kunyamaza kuliko ushuhuda wa uongo hakika utapotea.
Unaweweseka sana mpaka unatia huruma!Wewe humu jf kutwa unadhihaki watu Dua gani utatuma liwapate waliopewa nguvu na Mungu kuongoza Taifa? Mnafikiri kuongoza nchi ni sawa na Kuongoza Familia... Ajari ya Lissu anaweza pata yeyote ila kuombea Dua baya kwa waliotenda ni mbaya kwako even Yesu aliwasamehe hadi waliomchoma mkuki mbavuni... akiwaambia hawajui walitendalo japo walikuwa wamedhamilia... Kuombea watu Mabaya wadhania Dua hiyo itapokelewa as if wewe ni msafi sana.. Wewe Muombee tu Lissu apone kabisa na uombee na wengine Duniani walio kwenye Majanga hata zaidi ya Lissu Wapone kisha tubu dhambi zako.