Kutokana na baadhi ya waendesha nchi kuamua kuweka pamba masikioni kuhusu suala hili la mwendo kasi wa mauaji ya ndugu zetu, watanzania wenzetu wenye ulemavu wa ngozi maalbino.
Piga picha kwa hali hii ilivyo hivi sasa, je hiki kizazi cha ndugu zetu hawa kitakuwa wapi mwaka 2012?
Tafakari, chukua hatua.
Shadow.
Piga picha kwa hali hii ilivyo hivi sasa, je hiki kizazi cha ndugu zetu hawa kitakuwa wapi mwaka 2012?
Tafakari, chukua hatua.
Shadow.