Kizazi cha sasa majanga!

Mbwa dume

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
5,934
Reaction score
10,206
Tuko kwenye kizazi ambacho mdada ana-date na Frank kwa zaidi ya miaka mitano, shoga zake wanamjua Muddy, nyumbani kwao wanamjua Juma tangu shule.

Wakati huo amemtambulisha Ibra kwa shangazi yake, amechumbiwa na Omary, akazalishwa na Collin, analipiwa kodi na Masanja, amezaa na mme wa Anna, badae anakuja kuolewa na Pius baada ya kufumaniwa na kuachwa na Sumeiman.

[emoji13][emoji13][emoji13]
Uzi tayari[emoji120]
 
Shemela wake ambae ni mdogo wake pius ndo mkata nyege wake, huku emma ndo kinara wa kumtoa weekend pale kitambaa cheupe, mpaka kucha kwa utundu wake anapewa mpaka......?
 
Ni cha kishujaa toka enzi
Huwezi fananisha enzi hizo na sasa, zamani wazazi walikuwa na nizamu ya hali ya juu, true love ilitamalaki, kila mtu aliridhika na hali aliyokuwa nayo mwenzake, kulikuwa hamna hizi kampeni za wajuaji (50/50),hamna social networks ambazo walimu wamekuwa wengi na kila mmoja na mtaala wake,so zamani na sasa vitu 299736628........ tofauti.

Yaani siku inabidi uwe Shujaa kama Rambo kwnye ile movie yake aliye ifanyia Afghanistan na Warusi,uwe na hekima na busara ya hali ya juu na husiwe na hasira za karibu la sivyo......
 
noma sana
 
Umeacha alompa connection ya kazi ni Raphael, kila asubuhi anaamkia kwa boss wake Morris, jioni anatoka kazini na Jacob, bodaboda wake ni Alex na ex ambaye hatakaa amuache kamwe ni Martin.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…