Yaweza kuwa kajifunza mwenyewe kwa kuangalia watu wengine .Yawezekana katumwa awashe au kapewa apulize.
Lakini nani kamfundisha?
Nini chanzo cha yeye kufanya anacho fanya?
Yaweza kuwa kajifunza mwenyewe kwa kuangalia watu wengine .
ama ni tabia ya kitoto tu anataka kujaribu kila kitu.
?
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, kama mzazi umemzoelesha mtoto kumtuma akuwashie sigara usimshangae ukimkuta anavuta sigara make we ndo utakuwa umemfundisha
Ahhh! sigara nisivyo ipenda yani kwangu hata ash tray hakuna,kama unavuta basi utavutia nje ukimaliza uingie ndani...
Mkuu speaker, kitu cha kwanza unachopaswa kujua ni kwamba wafutaji wengi wa sigara ni selfish. Wanapenda kujitazama wao tu then furaha yao nikupata kile wakitakacho wao. Hapa kitaani kwetu kana jamaa mmoja mshamba sana., daily yeye ni kutuma mtoto kibandani kununua sigara moja moja, yani huyo dogo kwa siku hakosi kibandani zaidi ya hata mara 24, na maana kila baada ya nusu saa dogo anafata mzigo. Hii ni aina ya usumbufu pia!
hilo fulana limeandikwa summer,halafu manzese pale bigbrother wapo wengi sana hata kikwete anatumia hiyo je wananchi wake!hahahaha kweli hii nchi ya sigara.
Yawezekana kama mzazi humtumi mtoto au huvuti
kabisaaaa,lakini huko anakopita toka shule hadi afike nyumbani
labda amesha vutishwa,...na wewe kama mzazi uko mbali nae
hata hug humpi utajua lini anavuta?
hilo fulana limeandikwa summer,halafu manzese pale bigbrother wapo wengi sana hata kikwete anatumia hiyo je wananchi wake!hahahaha kweli hii nchi ya sigara.