Kutokana na muungano wa sasa kuwa na makando kando (kero za muungano) ambayo miaka nenda rudi hayajaweza kutatuliwa na kizazi cha babu zetu, baba zetu.
Sisi kizazi cha DOT COM ambacho hakina mbambamba tutahakikisha kero za muungano zinashughulikiwa na kuhakikisha taifa linastawi. Babu zetu na wazazi wetu tunewapa muda wapite tu.
Tanzania 🇹🇿 inakuja
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?
Sisi kizazi cha DOT COM ambacho hakina mbambamba tutahakikisha kero za muungano zinashughulikiwa na kuhakikisha taifa linastawi. Babu zetu na wazazi wetu tunewapa muda wapite tu.
Tanzania 🇹🇿 inakuja
PIA SOMA
- Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?