Kabewa
Senior Member
- Oct 30, 2009
- 136
- 56
Kwa Mara ya kwanza kizazi kipya cha mabadiliko kitaanza kupiga kura au kushiriki uchaguzi mkuu mwaka huu.Kizazi hiki ambacho hakijachakachuliwa ni wale vijana ambao walizaliwa kuanzia mwaka 1992 ambao ndio mwaka zilipoanza siasa za vyama vingi. kwa wale walio zaliwa mwaka 1992 mwaka huu watatimiza miaka 18 ambapo kwa mujibu wa sheria wana haki kushiriki eidha kuchagua au kuchaguliwa kwa mara ya kwanza katika chaguzi mbalimbali za nchi hii.
Ni mategemeo yangu kuwa kizazi hiki ambacho hakikuwembo enzi za chama kimoja kitakuwa na changamoto yaaina yako kwa kuwa na uhuru mpana wa kuchagua kwani hiki ni kizazi safi ambacho hakijachafuliwa na zile fikra za kukitukuza chama cha mapinduzi ambacho kilikuwepo muda mrefu kabla ya siasa za vyama vingi.
Ni mategemeo yangu kuwa kizazi hiki ambacho hakikuwembo enzi za chama kimoja kitakuwa na changamoto yaaina yako kwa kuwa na uhuru mpana wa kuchagua kwani hiki ni kizazi safi ambacho hakijachafuliwa na zile fikra za kukitukuza chama cha mapinduzi ambacho kilikuwepo muda mrefu kabla ya siasa za vyama vingi.