secrecy
Senior Member
- Jan 12, 2015
- 155
- 47
Nacheka kwanza😂😂😂😂
Hivi wadada ushawahi kuvaa pichu zote zikaisha mpaka ukiangalia kwenye droo hamna iliyobaki?mm nakumbuka wakati nasoma nilikuwa navaa zote hadi zinaisha ndio nazifua,au nikiwa nakaribia kwenda kwa madam moon ndio nafua,
Nilikuwa naona kufua moja moja zinanchelewesha hivyo naweka kwenye tenga then nazifua kwa pamoja,siku hiyo ntajaza kamba zote na nilikuwa nafua pichu tuu labda na leso.hahaha kilichonifanya niandike hivi hapa ni workmate wangu nilimuuliza leo mbona tetema kama lote akanambia acha tuu kipenzi nilisahau kama pichu zote nimevaa zimeisha nimevaa kibikini tuu hapa,hahaha daah nika mwambia kumbe sikuwa pekeangu,wewe je imewahi kukuta au umewahi kuvaa kufuli zote zikaisha ukakimbia kwa mangi kwenda kununua nyingine ya emergency?
Hivi wadada ushawahi kuvaa pichu zote zikaisha mpaka ukiangalia kwenye droo hamna iliyobaki?mm nakumbuka wakati nasoma nilikuwa navaa zote hadi zinaisha ndio nazifua,au nikiwa nakaribia kwenda kwa madam moon ndio nafua,
Nilikuwa naona kufua moja moja zinanchelewesha hivyo naweka kwenye tenga then nazifua kwa pamoja,siku hiyo ntajaza kamba zote na nilikuwa nafua pichu tuu labda na leso.hahaha kilichonifanya niandike hivi hapa ni workmate wangu nilimuuliza leo mbona tetema kama lote akanambia acha tuu kipenzi nilisahau kama pichu zote nimevaa zimeisha nimevaa kibikini tuu hapa,hahaha daah nika mwambia kumbe sikuwa pekeangu,wewe je imewahi kukuta au umewahi kuvaa kufuli zote zikaisha ukakimbia kwa mangi kwenda kununua nyingine ya emergency?