Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Zanzibar wana hela siku hizi.Za ndaaani kabisa, uwanja wa Kizimkazi utaweza kubeba mashabiki 20,000 walioketi pindi utakapokamilika. Maendeleo hayana chamaView attachment 3079919
Za kutoshaZanzibar wana hela siku hizi.
Hv mapato ya ndani ya hamashauri zetu unayafahamu au unaota? Halmashauri ya wilaya Kakonko kigoma wanakusanya milioni 800 kwa mwaka sasa huwo uwanja utaujengaje?Siku nikiwa Rais Kila manispaaa inapaswa kujenga kiwanja/viwanja tena kwa mapato ya ndani at least kiweze kubeba mashabiki 5000 kuendelea
Kakonko ni manispaaa???Hv mapato ya ndani ya hamashauri zetu unayafahamu au unaota? Halmashauri ya wilaya Kakonko kigoma wanakusanya milioni 800 kwa mwaka sasa huwo uwanja utaujengaje?
We jamaa sijui hamnazo hv unafahamu kwamba kuna halmashauri za wilaya zinamapato makubwa kuliko Manispaa? Muleba inakusanya mapato ya ndani mara mbili ya Manispaa ya Bukoba. Kwahyo kuwa Manispaa sio kigezo.Kakonko ni manispaaa???
Tanganyika! Hii ndio faida za muunganoZa ndaaani kabisa, uwanja wa Kizimkazi utaweza kubeba mashabiki 20,000 walioketi pindi utakapokamilika. Maendeleo hayana chamaView attachment 3079919