Kizimkazi Health Center Yazinduliwa Kusini Unguja

Kizimkazi Health Center Yazinduliwa Kusini Unguja

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

KIZIMKAZI HEALTH CENTER YAZINDULIWA KUSINI UNGUJA

Pichani ni Muonekano wa Kituo kipya cha Afya Kizimkazi au KIZIMKAZI HEALTH CENTER katika Wilaya ya Kusini Unguja ambacho kimezinduliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, tarehe January 4, 2025.

Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, aliambatana na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Ayoub Mohammed Mahamoud, Mama Salma Kikwete, Wanu Hafidh Ameir (Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation, MIF) pamoja na viongozi mbalimbali.
 

Attachments

  • GgdXmPwXkAA2bRb.jpg
    GgdXmPwXkAA2bRb.jpg
    423.8 KB · Views: 5
  • GgdW5m0WUAAXG17.jpg
    GgdW5m0WUAAXG17.jpg
    525 KB · Views: 8
  • GgdXmPsWoAAkdKE.jpg
    GgdXmPsWoAAkdKE.jpg
    233.2 KB · Views: 7
  • GgdXmPsXkAAvbpU.jpg
    GgdXmPsXkAAvbpU.jpg
    185.7 KB · Views: 8
Uzi hauna wachangiaji, wote wamenuna!
Poleni wátanganyika.
 

KIZIMKAZI HEALTH CENTER YAZINDULIWA KUSINI UNGUJA

Pichani ni Muonekano wa Kituo kipya cha Afya Kizimkazi au KIZIMKAZI HEALTH CENTER katika Wilaya ya Kusini Unguja ambacho kimezinduliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, tarehe January 4, 2025.

Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, aliambatana na Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Ayoub Mohammed Mahamoud, Mama Salma Kikwete, Wanu Hafidh Ameir (Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation, MIF) pamoja na viongozi mbalimbali.
Bado hd BOT itajengwa Kizimkazi!!
 
Pesa za Tanganyika zinaenda kujenga nchi nyingine wakati kuna kata hata zahanati hakuna na kama zipo zimechoka vibaya sana!
 
Back
Top Bottom