superstar1
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 222
- 176
Hivi, eti mtu ambaye ni kiziwi toka alipozaliwa huwa anafikiri kwa kutumia lugha gani jamani?
Kwani kufikiri ni lazima ufikiri kwa lugha? Mtoto mdogo anapozaliwa kabla ya kujua lugha huwa anafikiri vipi?
Usichanganye vitu viwili.
Huwezi kuwa na lugha bila fikra, lakini unaweza kuwa na fikra bila lugha.
Hivi, eti mtu ambaye ni kiziwi toka alipozaliwa huwa anafikiri kwa kutumia lugha gani jamani?