Kizungumkuti cha ndoa!


mi hujiuliza hivi wanaharakati wa Tamwa, Tawla, Tgnp hayo wayasemayo kwenye ndoa huyafanya? Au ni porojo za nje tu? Nijuzeni jamani
 

Hii ni kweli kabisa ndo maana huwa nasema nafasi ya malezi kumjenga mtu mi kubwa!
 
mi hujiuliza hivi wanaharakati wa Tamwa, Tawla, Tgnp hayo wayasemayo kwenye ndoa huyafanya? Au ni porojo za nje tu? Nijuzeni jamani

Porojo tu!Kama wangekua sahihi ndoa zingekua pepo!
 
Habari yako TF,
Naona leo ni kidhungu tu,
Nimetumia dikishenari nimekuelwa,
Japo sio wanaume wote wanaelewa na kuamini hivyo!
:lol::lol: Wengi huwa wanachanganya na ile ya kwenye Biblia inayosema "Mwanaume ndio kichwa cha nyumba" basi wanachukulia kuwa kichwa cha nyumba ndio unakuwa na maamuzi ya mwisho kwenye kila jambo.
 
Habari yako TF,
Naona leo ni kidhungu tu,
Nimetumia dikishenari nimekuelwa,
Japo sio wanaume wote wanaelewa na kuamini hivyo!

Yaani we acha tu,sijui katokea wapi!
 
mi hujiuliza hivi wanaharakati wa Tamwa, Tawla, Tgnp hayo wayasemayo kwenye ndoa huyafanya? Au ni porojo za nje tu? Nijuzeni jamani
Baadhi ya hao watu ninao wajua mm hawana ndoa!
Hao wengine sijui,ndio maana hata mie maneno yao huwa nasililiza tu!
 

....lol....e bana weeee? unamvizia nani humu wewe na maujiko hayo? hahahaha!
 
:lol::lol: Wengi huwa wanachanganya na ile ya kwenye Biblia inayosema "Mwanaume ndio kichwa cha nyumba" basi wanachukulia kuwa kichwa cha nyumba ndio unakuwa na maamuzi ya mwisho kwenye kila jambo.
Wala hujakosea TF,
Kwakweli mungu na kuweke na moyo huo huo na uelewa huohuo siku zako zote za maisha yako lol!
Jaman waelimishen wanaume wenzenu,mambo ni kushirikiana na wadhifa wenu utabaki pale pale!
 
....lol....e bana weeee? unamvizia nani humu wewe na maujiko hayo? hahahaha!
Hahahahaha!!! Mbu there's a tiny cute fish somewhere, hiyo ndoano yako usiende nayo kwenye lile bwawa la maji pale jirani nimeishawahi nafasi usije ukaanza kuvua samaki niliokuwa nawapa chakula yapata miezi 9 iliyopita:lol:
 
Reactions: Mbu
So what are u trying to say hapa ni kuwa umuhimu wa kumsimamia mwanamke na malizake ni mpaka uwe huna mali?
Kama sina mali ni wazi nitakuwa fully involved kwenye mali zake na mali zake ndo zitaibeba familia, kwa hiyo nikiacha akitumia vibaya huoni kama familia itateseka?
 
Baadhi ya hao watu ninao wajua mm hawana ndoa!
Hao wengine sijui,ndio maana hata mie maneno yao huwa nasililiza tu!

Wanaume wengi tunawaogopa dah...binafsi nawaogopa hao...inaweza pangwa ratiba ya kudo usipokuwa makini..
 
Wala hujakosea TF,
Kwakweli mungu na kuweke na moyo huo huo na uelewa huohuo siku zako zote za maisha yako lol!
Jaman waelimishen wanaume wenzenu,mambo ni kushirikiana na wadhifa wenu utabaki pale pale!
Tunajitahidi kuwaweka sawa akina Eiyer waelewe umuhimu wa kushirikiana na wenza/girlfriend zao na wadhifa unabaki pale pale hakuna kinachobadilika cha msingi ni kuhakikisha wewe kama Mke/Mume unaileta familia yako mbele wa Mwenyezi Mungu na kuiombea ili kila jambo au maamuzi mtakayofanya basi kusiwe na mgongano au mmoja akajiona ni bora kuliko mwingine
 

... dah safi sana! waambie wenzio wabadili tabia! lo
 
Hahahahaha!!! Mbu there's a tiny cute fish somewhere, hiyo ndoano yako usiende nayo kwenye lile bwawa la maji pale jirani nimeishawahi nafasi usije ukaanza kuvua samaki niliokuwa nawapa chakula yapata miezi 9 iliyopita:lol:

....lol....haya bana, "deal!".... "Ukiishaisoma Idiliti"
 
Wanaume wengi tunawaogopa dah...binafsi nawaogopa hao...inaweza pangwa ratiba ya kudo usipokuwa makini..
Dah,wale hawshindwi,na hivi wanazijua na sheria za haki za binadamu!
Na ukilinganisha na speech zao kaaazi kweli kweli!
 
Dah! swaiba leo umejaa mabusara,
Nahisi umeokoka au msemo wako uliomwambia mbu una kaukweli fulan lol!
Kuna watu wakiona namna ulivyoanika leo hataamini watajua kuna mtu ameiba pasiwedi yako!
Ashukuriwe mungu na aliyekufanya uwe hivi na hali hii idumu milele amina.
 
Dah,wale hawshindwi,na hivi wanazijua na sheria za haki za binadamu!
Na ukilinganisha na speech zao kaaazi kweli kweli!

nitakukumbuka kwenye sala zangu...maana umeelimika na naona mashost wengi hawachangii nahic kuna ka ukweli flani hapa
 
:lol::lol::eyebrows: Leo full upako hadi kwenye keyboard hapa button zote zinanena kwa lugha na kumuimbia bwana mapambio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…