Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugi....anayeweza kujibu hilo swali ni mganga wa kupiga ramli tu...na sio daktari! Kizungu zungu kina sababu nyiingi tu, ungetoa maelezo ya kutosha ingekuwa rahisi kwa wataalamu wa afya hapa JF kufikiri inaweza kuwa nini na kukusaidia.