Kizuri kula na mwenzio!!!! itakufaa na wewe.


Khaa we unalako jambo, kama hauna la kuchangia be quit. Utafini vipi ndoa ya mtu husie mjua? Au ndio wewe mume wenyewe unaogopa siri yako ataijua mkeo? Na angekuwa mume wangu, ningemtoa baruti, na uchizi wake wa kisaikologia angepona siku hiyo hiyo. Mie sifugi na wala sifungwi na vichaa wa namna hiyo. Ndoa gani hapo ya kuifitini, wanaume manungaembe hata haya hawana, poleni wanawake mnaotiwa aibu na waume zenu. Hana lolote huyo bwana tamaa tu ya wanawake ndio inasababisha akojoe hovyo, nyege sio tatizo la kisaikologia wala nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…