Kizza besigye has been shot by police in katwe,kampala

Kizza besigye has been shot by police in katwe,kampala

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Besigye leg prufely bled as he was being driven at a terrific speed to the clinic
 
Please M7 why do you want to kill Besigye?
 
haya mambo jamani!
Besigye si ukubali yaishe na wewe utafuta viwanja vingine vya kujidai kama mkeo Winnie anakula kuku kwa mrija sasa baada ya kuachana na siasa za kutafutana kuuana.

Waachie vijana sasa nawe upumzike.Watakutoa roho bure babu wa watu.
 
Jamaa ni jembe kweli mtu wa mavurugu tungewapata kama 10 hapa kwetu ingekua safi sana!
 
Photo please...bt nahisi huyu mtu watamu-assassinate tu!!
 
Our goverment tools are that way.Kwani situlimuona Josephine wa slaa arusha? Kinachotakiwa ni kuendeleza mpambano ili kujenga ujasiri kwa wengine.
 
haya mambo jamani!
Besigye si ukubali yaishe na wewe utafuta viwanja vingine vya kujidai kama mkeo Winnie anakula kuku kwa mrija sasa baada ya kuachana na siasa za kutafutana kuuana.

Waachie vijana sasa nawe upumzike.Watakutoa roho bure babu wa watu.

Mkuu nina mashaka na ushauri wako huu. Unataka kusema kuwa aache kutetea anachoamini kwa sababu ya M7? Halafu unavosema mke wake anakula maisha hujui kuwa maisha ni zaidi ya fedha na mali? Kama kila mtu akifuata ushauri wako huoni kuwa hakutakuwa na mabadiliko? Nakuomba ufute kauli ili tuwe na kumbukumbu nzuri na posts zako mkuu
 
Back
Top Bottom